
Tanzania na Rwanda zinaimarisha ushirikiano katika nishati na miundombinu
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, alitangaza kuwa Tanzania na Rwanda zimekubaliana kuimarisha ushirikiano katika sekta za nishati na miundombinu ili kuchochea maendeleo ya kiuchumi katika eneo la Afrika Mashariki.

